Friday, October 12, 2012

Mkazi wa Mbagala akisaidiwa baada ya kuzidiwa na moshi wa mabomu ya machozi kuwatawanya waumini wa Kiislam
Mmoja wa waumini wa Kiislam akimtukuza Mungu baada ya kukamatwa mwenzake kwenye maandamano
Mwandamanaji akipandishwa kwenye gari na askari wakikosi cha kutuliza ghasia
Mwandamanaji akipata mkong'oto
Askari wakimdhibiti mmoja wa waandamanaji
Askari wakikosi cha kutuliza ghasia wakielekea kuwatawanya waislamu

Gari la polisi maarufu kwa jina la kikojozi likiwamwagia maji waandamanaji wa Kiislam waliokuwa wanaandamana.