Monday, November 19, 2012

    Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Mwantumu Malale akizungumza wakati wa mkutano baina ya wajumbe wa Tume hiyo na Viongozi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Karatu jana jumatatu Novemba 19, 2012 kabla ya kuanza kazi ya ukusanyaji maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya Wilayani humo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Daudi Ntibenda.


No comments:

Post a Comment