Thursday, November 15, 2012

LADY JAYDEE KUANZISHA KIPINDI CHA TELEVISHENI KITAKACHOJULIKANA KAMA DIARY YA LADY JAYDEE

Mwanamuziki wa bendi Machozi Lady Jaydee akisisitiza jambo wakati akiongea na wandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kuhusu kuanzisha kwa kipindi cha TV kitakachoitwa DIARY YA LADE JAYDEE ambacho kitaonekana katika kituo cha Televisheni ya EATV. Kkushoto ni Mkuu wa Vipindi (EATV) Lydia Igarabuza

No comments:

Post a Comment