Sunday, November 11, 2012

MGOGORO WA MAPATO NA MATUMIZI ULIOJITOKEZA KATI YA FAMILIA YA MSANII MAARUFU WA ZANZIBAR BI.KIDUDE NA TAASISI YA SAUTI ZA BUSARA PROMOTION WAWEKWA WAZI

Msanii maarufu wa Zanzibar Fatma biti Baraka 'Bikidude' Uongozi wa Sauti za Busara Promotion wafafanua  juu ya mgogoro uliojitokeza kati ya wanafamilia wa msanii huyo na taasisi hiyo juu ya mapato na matumizi ya msaanii huyo ambapo Mkurugenzi wa taaisis hiyo amefafanua kuwa kati ya shilingi milioni 36 alizopata ametumia mwenyewe kulingana na mahitaji yake na kubakia chenji ya shilingi milioni 3.6 kabla ya kuanza kuumwa mwaka huu..


No comments:

Post a Comment