Sunday, November 25, 2012

MLEMAVU WA NGOZI MARIAMU STANFORD AKIWA NA CHETI CHAKE BAADA YA KUHITIMU KWENYE MAHAFALI MJINI MOSHI

Mariam Stanford mlemavu wa ngozi ambaye mikono yake ilikatwa na watu mwaka 2008 akiwa ameshika cheti chake baada ya kuhitimu katika Chuo cha Ufundi cha Imani Vocational Training Centre kilichpo Moshi, Kilimanjaro.Picha kwa hisani ya  UTSS)



No comments:

Post a Comment