Wednesday, November 21, 2012

KATIBU MKUU WA CCM AANZA ZIARA YA KICHAMA MKOANI MTWARA

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Mtwara kuanza ziara ya siku moja kutembelea matawi na mashina ya CCM na kufanya mikutano ya hadhara mkoani humo. Kulia Ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara Mohamedi Sinani. 

No comments:

Post a Comment